Mmmh nimemsikiliza diwani wa kata ya kwadelo(kondoa) ITV leo kipindi cha kumekucha kwa kweli Hongera sana kijana,yeye kaamua kuhamasisha vijana wenzake walioko mjini wajiajiri katika sekta ya kilimo tena kwa kuwapa ardhi na kukopeshwa mitaji kwa kushirikiana na halmashauri yake,wanalima mahindi,mbaazi na alizeti. imagine uinvest 150000 utoke na 2000000 anakwambia heka moja inatoa magunia karibu 20..so much interested ila sitokei kondoa nami ningeunga tela.wako wapi madiwadi wetu wanaotoka maeneo yenye ardhi yenye rutuba waige mfano kwa huyu OMARY KARIAKI hakika 2015 wangerudi bila shida.tukipata kama hawa 50 wala sitaki kuajiriwa hata na BOT.