Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Tumekua tunatumia muda mwingi kujadili swala la jaribio la wizara ya madini na nishati kutoa hongo kwa wabunge kupitishia bajeti ya wizara hiyo.Majina yametajwa Jairo,Ngereja n.k.Hapa kwa kutaja majina ni CHANGA LA MACHO.Haniingii kichwani ya kua mipango hiyo inaweza fanyika bila BARAKA ZA IKULU!.Na hili limekua likifanyika kwa muda mrefu katika wizara nyingi.ushahidi ni mikataba mibovu ambayo imekua ikipitishwa bungeni.TUNAPASHWA TUELEWE kelele za wabunge wa CCM kupitishwa mikataba mbali mbali "ZIMELIPIWA"Haya tusingeyafahamu Kama jaribio lingefanikiwa.Nasababu kuu za kishindikana kwa jaribio Hilo ni "HALI HALISI YA UMEME na mwamko wa wananchi ulioamasishwa na CHADEMA.kwa swala hili MWAJIBIKAJI MKUU NI JK MWENYEWE.Ndiyo maana hata ushugulikiji wa kashifa nzito kama Hii Waziri MKUU ,Spika,Takururu na JK mwenyewe ni kwikwi.MUNGU IBRIKI TANZANIA.