SWEET HUSBAND
Member
- Aug 22, 2012
- 97
- 57
Hodi humu ndani,ok hope nimepokelewa!!jamani mwenzenu nimehamia tabata huko Kinyerezi,sasa nina mtoto wa kuanza shule,ni 3 years,nimeuliza shule nikaambiwa mpeleke tusiime,nikauliza why TUsiime,ni nzuri tu ila walimu wanachapa sana,ila ni nzuri,sasa wamenichanganya,please anaeifahamu vizuri naomba ushauri wenu.Na sifungamani na Tusime tu kama kuna shule nyingine nijuzeni please.