Tusihadaike tena na ccm 2015,hakuna kiongozi anatakaye tujali.

augustino ameri

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
267
57
Tulimwamini JK mwaka 2005 kwa asilimia kubwa,viongozi wa dini hawakuwa na mitizamo ya udini walisema ni 'chaguo la Mungu'.Wananch wa kawaida walimuelezea kuwa ni mutu wa watu na muzalendo anayejali watu wa chini na asiyependa ufisadi.Walitoa sifa yake kuwa enzi za mzee ruksa Rais wa awamu ya pili alifunga akauti ya Kigoma malima iliyokuwa uswis na hili liliwapa imani wananchi kuwa wale walioyozoea kuchezea mali ya uma ndio mwisho wao.Kinyume na matarajio ya wananch ,migomo imekuwa mingi na yenye athari kubwa,ufisadi umeongezeka na mfumo wa kulindana kichamaumeendelezwa.
 
Tulimwamini JK mwaka 2005 kwa asilimia kubwa,viongozi wa dini hawakuwa na mitizamo ya udini walisema ni 'chaguo la Mungu'.Wananch wa kawaida walimuelezea kuwa ni mutu wa watu na muzalendo anayejali watu wa chini na asiyependa ufisadi.Walitoa sifa yake kuwa enzi za mzee ruksa Rais wa awamu ya pili alifunga akauti ya Kigoma malima iliyokuwa uswis na hili liliwapa imani wananchi kuwa wale walioyozoea kuchezea mali ya uma ndio mwisho wao.Kinyume na matarajio ya wananch ,migomo imekuwa mingi na yenye athari kubwa,ufisadi umeongezeka na mfumo wa kulindana kichamaumeendelezwa.

kwa ujumla ccm walishashindwa kulihudumia hili taifa, ila wanalazimisha tu. HATUTAHADAIKA TUMESGAAMSHWA NA M4C.

piiiiiipoooooooooooooooooooooooooooooooozz!!!!!!!!!!!!! pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom