Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
Kama mlifikiri mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe ana nia na uraisi...,basi hilo ni changa la macho hasa kwa wananchi wa mkoa wa kigoma mnaodanganywa na kuingizwa mjini na mh.Zitto kwamba eti mtatoa Raisi..,Msidanganyike wananchi wa Kigoma..Zitto Kabwe hana nia na Uraisi ila anatekeleza mipango ya CCM kumaliza na kusarambatisha Upinzani nchini...!
Zitto Kabwe amekuwa MSALITI,JEURI na mwenye TAMAA kwa kuamua kukisaliti chama chake kama jinsi Yuda Iskarioti alivyomsaliti Yesu kristo,
Baada ya mipango yake na Kafulila kumngo'a Mbatia kukwama ndani ya NCCR..,sasa ameamua kutekeleza zama yake ya URAISI ili kuleta mgawanyiko ndani ya CHADEMA na kati ya wabunge hasa tunayoona sasa hv NASSARI anavyoweweseka....huku pia akitumia vyombo vya habari kama jinsi mafisadi wanavyotumia kujisafisha...!
Napenda kuwasilisha..!
Zitto Kabwe amekuwa MSALITI,JEURI na mwenye TAMAA kwa kuamua kukisaliti chama chake kama jinsi Yuda Iskarioti alivyomsaliti Yesu kristo,
Baada ya mipango yake na Kafulila kumngo'a Mbatia kukwama ndani ya NCCR..,sasa ameamua kutekeleza zama yake ya URAISI ili kuleta mgawanyiko ndani ya CHADEMA na kati ya wabunge hasa tunayoona sasa hv NASSARI anavyoweweseka....huku pia akitumia vyombo vya habari kama jinsi mafisadi wanavyotumia kujisafisha...!
Napenda kuwasilisha..!