Wanitakiani
JF-Expert Member
- Apr 18, 2008
- 641
- 135
Kama serikali inahusika wahusika hawatakamatwa maana watalindwa, kama serikali haihusiki watuhumiwa wangeshakamatwa maana wangeanza ku-track mawasiliano ya simu kati ya Dr. Ulimbokana na Watuhumiwa, its very easy kwenye teknolojia ya leo. They can not dare do that maana wataji-expose!