dorcas1234
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 116
- 34
Kuna watu niliwasikia wakisema eti wanaume mabonge tena wenye matunbo kabambe huwa wadhaifu kunako sita kwa sita? na wakimaliza round moja wanahema kama kuku hawawezi kurudia?
nijuzeni mwenzenu.
nijuzeni mwenzenu.