BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Mambo katika nchi yetu hayaendi vizuri kabisa. Watanzania wanakufa kwa njaa, wanakosa huduma za kawaida (basic needs) za jamii kama elimu, afya, maji, mlo wa kawaida na mengine mengi. Kuna kikundi labda 0.5% ndiyo wanaishi vizuri. Sitaki tuishi kama wao ila angalau tupate basic needs. Hizo ndege, mashangini watumie wao sisi watuhakikishie tu mlo, shule, maji na matibabu.
Kelele zinapigwa kwenye magazeti, Forums, radio lakini sioni dalili za sisi wachache kupata haki zetu za msingi.
Sasa basi. Kwanini sisi wa Tanzania tunaoteseka tusifunge na kumwomba Mungu wetu awaangamize hawa wachache wanao tunyanyasa ili tubaki na watu waadilifu ambao hawata jipendelea. Nashauri kuanzia mwaka 2011 uwe mwaka wa maombi kwa Mungu awaangamize kina
1. Lowassa
2. Chenge
3. Karamagi
4. Rostam
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
Kelele zinapigwa kwenye magazeti, Forums, radio lakini sioni dalili za sisi wachache kupata haki zetu za msingi.
Sasa basi. Kwanini sisi wa Tanzania tunaoteseka tusifunge na kumwomba Mungu wetu awaangamize hawa wachache wanao tunyanyasa ili tubaki na watu waadilifu ambao hawata jipendelea. Nashauri kuanzia mwaka 2011 uwe mwaka wa maombi kwa Mungu awaangamize kina
1. Lowassa
2. Chenge
3. Karamagi
4. Rostam
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15