FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
kweli weka basi hiyo sample CV tuangalizie
kwani na wewe unatafuta kazi....?kweli weka basi hiyo sample CV tuangalizie
Mmmhh...labda wameanza siku hizi ila mimi sikumbuki kufundishwa jinsi ya kuandika resume nilipokuwa sekondari. Kuhusu barua, nakumbuka tulikuwa tunafundishwa jinsi ya kuandika barua mbalimbali lakini sidhani kama walikuwa wanaenda kiundani zaidi. Ilikuwa ni sort of the ABCs of letter writing.
Pia sijui kama chuo kikuu wanafundisha lakini ingekuwa vizuri kama wangefundisha jinsi ya kuandika hivi vitu kwenye capstone classes...
Mhe hii inategemea sana wewe ulisoma wapi. Binafsi sikatai kuwa hili somo halikufundishwa ila hata wafundishaji wenyewe walikuwa uncapable kufanya hivyo ila baada ya kuibuka shule za binafsi at least some have benefited but not the allSomo hili ni la muda mrefu sana.
Tulifundishwa hata namna ya kuandika barua za kirafiki, kikazi na kibiashara, pamoja na protocol za barua hizo (u.f.s...fulani) n.k. Ishu hapa ni usahaulifu wa tulio wengi!
Yah!! Unajua haya mambo yanabadilika mara kwa mara na kila mtu anapata kwa wakati tofauti kwahiyo ni vizuri updates zikawepo mara kwa mara. Kupeana information ni jambo la muhimu sana maishanijamani mnaojua mambo mapya mtu up to date basi.......plz
Kwa nini hatusisitizi watu kufundishwa jinsi ya kujiajiri kuliko kufundishwa barua za kuomba kazi!!!!!!Nafikiri kufundishwa kujiajiri ni bora zaidi ya kufundishwa kuandika barua za kuomba kazi. Tubadilike!!!!
Tiba
Ni wazo zuri sana Tiba na Mom, nafikiri ni wakati sasa wa kuwa na thread kama hiyo ili tuweze kupata mawazo mbalimbali ya jinsi ya kujiajiri. Nafikiria kufungua thread kama hiyo muda si mrefu na ndio itakuwa thread yangu ya kwanza kwa mwaka kuituma hapa jamviniKweli Tiba
Tufundishwe jinsi ya kujiajiri itasaidia sana kupunguza unemployment, kwanza serikali yetu haina uwezo wa kutuajiri wote tunaomaliza vyuo vikuu kila mwaka.