Shule ikiandikwa jina "MAHARAGWE" haina maana kwamba wukiena pale unalishwa maharagwe tu. Majina mangapi hatujui maana yake lakini bado hatujiulizi maswali hayo? Mbona tunacheza ndombolo ya solo wakati hatujui wanasema nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.