Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Harusi zimekuwa na gharama sana kuanzia maandlizi hadi kufanikisha. Lakini ndoa ngapi ziko kwenye furaha kama wakati wa Kudate? Baada ya kero basi kuachana huwa ni suluhisho kwa wenzi wote. Gharama mara 2 Kuowa na kuachana (Divorce). Divorce huhusisha mambo ya kisheria kama spousal support, child custody, child support, distribution of propertyand division of debt. Kama kuna watoto basi ni ngumu zaidi. Lakini mambo haya huwa hayapo kuwapo na Uncontested divorce.
Angalia Takwimu za Marekani Mwaka 2008, takribani 40% ya ndoa ziliishia kwenye divorce. Kwa Tanzania ndoa nyingi hudumu kwa miaka 6 na baada ya hapo talaka na kuachana. Takwimu zinaonyesha ni 15% ya ndoa husheherekea 20 years anniversary kwa amani na upendo. Watu wengi huishi kwenye ndoa wakati hakuna ndoa hii ni katika kulinda status quo kuonyesha jamaa wako kwenye ndoa lakini ukweli ndo iliisha vunjika miaka kadhaa nyuma.
Kama unajua kuna kuachana kwanini uingia gharama mara 2? Kuowa na kuolewa na kuingia hassles za kuachana?
Kwa wale ambao hamjaowa ama kuoelewa I strongly Urge you NOT to get blinded unto Marriage institution. Cohabitation should be the way forward, Nina Advocate ndoa za mikataba....
Masa
Angalia Takwimu za Marekani Mwaka 2008, takribani 40% ya ndoa ziliishia kwenye divorce. Kwa Tanzania ndoa nyingi hudumu kwa miaka 6 na baada ya hapo talaka na kuachana. Takwimu zinaonyesha ni 15% ya ndoa husheherekea 20 years anniversary kwa amani na upendo. Watu wengi huishi kwenye ndoa wakati hakuna ndoa hii ni katika kulinda status quo kuonyesha jamaa wako kwenye ndoa lakini ukweli ndo iliisha vunjika miaka kadhaa nyuma.
Kama unajua kuna kuachana kwanini uingia gharama mara 2? Kuowa na kuolewa na kuingia hassles za kuachana?
Kwa wale ambao hamjaowa ama kuoelewa I strongly Urge you NOT to get blinded unto Marriage institution. Cohabitation should be the way forward, Nina Advocate ndoa za mikataba....
Masa