Viongozi wetu pamoja mkuu wa inchi aliyepita wanayo change yetu na tunajua zilipo. Membe awaambie warudishe tu nasi hatunasababu ya kuwashitakli. Wasipofanya hivyo leo wakija watawala wengine watawashitaki au kuomba change hata kwa watoto wao japokuwa wao watakuwa wamekufa.