gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Usijali sweetlo nimeleta beberu aliyehasiwa kabisa atakuwa mtamuje sasa......wataaanza na kisusio asubuhi kisha AshaDii atawaaandalia ilo biriani...wewe na mimi tutakuwa tunavuta dompo mdogo mdogo
gfsonwin sasa unaenda mbali, au hadi niweke na picha tulizopiga tukila batanani? Ukweli utakuweka huru.
Ila wewe hakika ni Kungwi nimekuvulia kofia!
i know sweetlo ila sitaki watu wakufate fate jikoni.....wana shida na wewe, wapitie mlango wa mbele...umenisoma eeh.....
CC Superman
Na hili ndilo neno la Mungu.
heiya heiyaaaa! shostito BADILI TABIA hivi ue wimbo wa """achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo!!!""" uliimbwa na bendi gani tena??Haaaa haaaa Mkuu, hujui yanayoendelea nyuma ya pazia? Haya wewe gfsonwin na AshaDii na wapambe wako woote Asprin; BADILI TABIA; Yummy; na cacico hebu kamateni hii as a special dedication ili mjue ukweli:
Offside Trick =Aambiwe (Babu jinga) - YouTube
Kazi ni kwenu!
uzuri mume wangu ananijua mwanzo mwisho na wewe ukisema tulienda tanga yeye anakushangaa manake tuko wote wiki sasa lol!
wee nazi sio??
hahahha!...................mie ndo kungwi mwingine pc. hebu nenda kule jukwaa la juu kasome kwenye uzi mmoja hivi maana ya shanga utamjua kungwi lol!
Hatukwenda Tanga bana, si tuliishia njiani Kunanihilu? Sasa unataka hata wambea kama Babu Asprin ajue? Khaa!
heiya heiyaaaa! shostito BADILI TABIA hivi ue wimbo wa """achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo!!!""" uliimbwa na bendi gani tena??
na je ule wa '''nimempata nimempata wangu fundi??""
hebu mwimbie huyu Superman manake naona anasahau watoto wa migomigo wana sfa gani lol!