Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
haina aja ya kumjali mtu na title... kunawasome na PHD`s lakini uwezo wao wa kufikiri mdo wanashindwa na form 6 leavers
ina maana viwango vya elimu vilivyowekwa havina maana.nadhani hii inachangia kupotosha jamii.thats why kibongobongo mwanaume yoyote anaefanya kazi hospitali huitwa docta wakati mwanamke huitwa nurse.