wamechokaje sasa? walijua yatarudi sijui ? so sad
View attachment 53600
wamechokaje sasa? walijua yatarudi sijui ? so sad
View attachment 53600
wamechokaje sasa? walijua yatarudi sijui ? so sad
View attachment 53600
wapo wengi angalia mwingine kwenye hii clip anavyotia hurumayaniii wanawake wawili tu hapo.. inamaanisha wanawake nchi hii hawapendi kuangalia michezo au ??
Kwenye kipande hiki kuna kaka yangu.....ni shabiki mkubwa wa Jangwani, bado kijana tu lkn hapa kaonekana kama mzee!!!
Chezea Simba nyie!
hadi next seasonSaint Ivuga,hivi msiba unaisha lini( i mean 40) ? ...Wafiwa kuweni na moyo wa uvumilivu.
@Saint Ivuga Hawa Waombelezaji wamefiwa na nani mpaka tuwape pole za huo msiba wao mkuu?