Ya nyama au samaki?
nani anafaidi hapoooo katika huo mshikaki
jamaa wanawahi kazini kusaini. Hapa kuny*a anye kuku akiny*a bata kahari*sha.
Toka kwa mithupu
hii kali, tena wale wa tigo.Ngoja wakutane na polisi,
watakiona!
Ngoja wakutane na polisi,
watakiona!
Wewe unaweza kulala kwenye nyumba iliyojengwa kwa mabati na kuezekwa kwa mabati aka full suit? unaweza wewe kulala kichumba kimoja na mkeo(kama unaye) na wanao(kama unao) na mama mkwe wako? mkitenganishwa na kapazi ka khanga? jamaa wanaweza hawa. Wewe unaweza kukesha usiku macho bila kulala(guard) jamaa wanaweza hawa.So wanafanya vitu exceptional ambavyo wewe hutoweza kuvifanya.
Jamaa wanawahi kazini kusaini. Hapa kuny*a anye kuku akiny*a bata kahari*sha.
Toka kwa Mithupu