Rwigi,alikuwa mfupi sana
Isn't it?
huyo lazima mnyalu
Dah,kulikuwa kuna ticha wetu anaitwa pilato,yani ukichelewa namba tu unaipata getini
Ticha mwingine aliitwa Ngugi wa Thiong'o na stori zake za vitabu vya english
Afu wa mwisho aliitwa mofimu,kama kawa kiswahili kwa sana
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums