Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,661
- 948
Tunaomba majibu ya msingi:
1. CHADEMA kimesimamisha wagombea katika kata zote? Ni kina nani?
2. Je, kuna uratibu kutoka makao makuu ili kusaidia kampeni katika kata husika?
Binafsi nimechoka kusikia Darajambili kila siku!
Chaguzi hizi ndogo ni kiashirio (inference) cha hali ya kiasa sasa hivi na hata itakavyokuwa mwaka 2014. Tuache siasa za mitandaoni, tufanye kazi.
Kata ya Moyavizi Mbozi Mashariki Magamba watashindwa kuchakachua kura kwani kijana Mtakati atashinda kwa kishindo.