Ni makanisa mangapi yaliteketezwa wakati wa nyerere, ukilinganisha na serikali ya Kikwete?
Ni misikiti mingapi iliteketezwa wakati wa nyerere, ukilinganisha na serikali ya Kikwete
Ni katika mazingira gani vilitokea vikundi kama uamsho kuchinja watu kwa kisingizia cha kudai haki kwa mgongo wa dini?
Ni Polisi wangapi waliuliwa wakati wa nyereye kwa misingi ya vikundi vya watu kwa kisingizio cha kutetea dini?
Na bado, Tanganyika ikijitenga tu Unguja na Pemba zitageuka somalia, waliochapana kule mogadishu waislamu
watupu, wala mwalimu Nyerere hakuwepo kule. Najuwa mtakanusha lakini nisuala la muda tu mtakuwa wakimbizi
marekani kwa makafil
Na Rwanda pia waislam waliua? MOU pia wameiweka waislam ili wakristo wagawane misaada na serikali..Kufelisha wa2 wa dini moja pia bahat mbaya? Tangu uhuru katibu wa necta haijawah kua muislam,.mawazir wakuu 8 waislam wawili,..mawazir na manaibu kila wizaqa tangu uhuru had leo pigen hesabu je waislam wamesababisha?