Ndugu zangu naomba mnisanidie kunipatia elimu juu ya NGos na mashirika yafuatayo, hasa juu mishara,kukua kitaaluma, uhakika wa kibarua chako na amani uwapo kazini.Mashirika hayo ni:-
FAO tanzania,
Wildlife conservation society of Tanzania
Technoserve
Lando'keswako arusha
African wildlife foundation , ya Arusha pia.
Natanguliza shukrani kwa elimu.
FAO tanzania,
Wildlife conservation society of Tanzania
Technoserve
Lando'keswako arusha
African wildlife foundation , ya Arusha pia.
Natanguliza shukrani kwa elimu.