Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
- Thread starter
- #21
Usipoachana utakuwa na nyumba ndogo
Hahahahaha dena umenifurahisha asee, hivi hamuwezi mkakaa mkazungumza mkayamaliza na kuendelea kuishi kwa amani kweli? Mi nadhani kwenye ndoa ukimya ni mwingi sana watu hawapati muda wa kuzungumzia matatizo katika ndoa zao. Yaani inawezekana mmojawapo kati ya baba au mama hataki kabisa kukaa chini kuwekana sawa na mwenzie au akiambiwa anakuja juu