Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
good point Heche!Heche: Kumwaga damu siyo kupiga risasi: ni Watanzania kufa kwenye ajali kutokana na ubovu wa miundombinu na ubovu vyombo vya usafiri. Watanzania kufa mahospitalini kwa maradhi yanayotibika.
Watanzania wakihoji haya, wanaonekana (na CCM) kuwa wanafanya vurugu.