commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
wadau leo ndugu yetu Yahya mohamed,hayupo ili kutuunganisha wana JF na kipindi moja kwa moja,kipindi kinaendelea .jicho letu ndani ya habari.
Mojawapo wa wageni waalikwa ni Dk kitimbo wa SAUT,hoja ni upotevu wa mabilioni uliogunduliwa wizara ya maliasaili na kamati ya bunge hivi karibuni.
Mojawapo wa wageni waalikwa ni Dk kitimbo wa SAUT,hoja ni upotevu wa mabilioni uliogunduliwa wizara ya maliasaili na kamati ya bunge hivi karibuni.