Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Habari za J3 GT's
Jumatatu ya leo tutajadili kuhusu Ongezeko na majaaliwa ya Vyama vidogo vya siasa kuelekea uchaguzi Mkuu 2015. Lengo ni kutathimini kukomaa kwa demokrasia lakini pia mfumo wa siasa za Tanzania katika kumletea ustawi bora wa maisha mtanzania wa hali ya chini na kukuza pato la Taifa:
Katika mjadala huu tunategemea kuwa na
Bw.Kuga Peter Mziray APPT Maendeleo
Bw. Johson Mwangosi SAU
Unaweza pia kuendelea kuchangia katika habari kuu za wikiend ya jana na asubuhi ya leo
Karibuni
Jumatatu ya leo tutajadili kuhusu Ongezeko na majaaliwa ya Vyama vidogo vya siasa kuelekea uchaguzi Mkuu 2015. Lengo ni kutathimini kukomaa kwa demokrasia lakini pia mfumo wa siasa za Tanzania katika kumletea ustawi bora wa maisha mtanzania wa hali ya chini na kukuza pato la Taifa:
Katika mjadala huu tunategemea kuwa na
Bw.Kuga Peter Mziray APPT Maendeleo
Bw. Johson Mwangosi SAU
Unaweza pia kuendelea kuchangia katika habari kuu za wikiend ya jana na asubuhi ya leo
- Sakata la watoto wa Wasirra
- Uchaguzi Mkuu NEC na nagazi nyinginezo CCM
- Siku ya Wazee Duniani
Karibuni