Paul Mabuga
Member
- Nov 25, 2010
- 10
- 2
Waungwana ijumaa wiki hii tutaangalia "Pamba: Ruzuku ya pembejeo imeongezeka, Uzalishaji Unashuka."
Mantiki hapa ni kwamba wakati serikali ilikuwa haitoi ruzuku uzalishaji ulipanda na kufikia marobota 700,000 kwa mwaka, lakini wakati ruzuku imeanza kutolewa uzalishaji umeshuka na hata rekodi ya robota chini ya laki tatu kwa mwaka huu. Mwaka huu ruzuku shs bn 8 imetolewa: Je kwa hali hii hizi pesa zinafika kwa wakulima?
Naomba michango yenu na natarajia kuwa -- baadhi itachapwa kwenye screen na kama mtu anaweza ku upload video ya maoni yake walau chini ya dakika mbili na kuituma you tube -- akiipa jina kuanza na Tuongee na kisha neno lolote ninaweza pia kuitumia.
Nawakaribisha jamvini kwa michango yenu waungwana.
Asante.
Mantiki hapa ni kwamba wakati serikali ilikuwa haitoi ruzuku uzalishaji ulipanda na kufikia marobota 700,000 kwa mwaka, lakini wakati ruzuku imeanza kutolewa uzalishaji umeshuka na hata rekodi ya robota chini ya laki tatu kwa mwaka huu. Mwaka huu ruzuku shs bn 8 imetolewa: Je kwa hali hii hizi pesa zinafika kwa wakulima?
Naomba michango yenu na natarajia kuwa -- baadhi itachapwa kwenye screen na kama mtu anaweza ku upload video ya maoni yake walau chini ya dakika mbili na kuituma you tube -- akiipa jina kuanza na Tuongee na kisha neno lolote ninaweza pia kuitumia.
Nawakaribisha jamvini kwa michango yenu waungwana.
Asante.