Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Tunaomba mtujibu maswali yatakayouliza hapa na wanajamvi.
Maswali.
1. Pamoja na baadhi ya wanahabari kuwa na mapungufu,je hii tabia ya wanahabari huru kukamatwa kwa uchochezi ni jambo la kufungiwa macho na vyombo husika?
2. Je wanaoelimisha wananchi,na kuishia kupewa kesi za uchochezi,serikal wangependa waandike nini ili wasilete uchochezi?
Maswali.
1. Pamoja na baadhi ya wanahabari kuwa na mapungufu,je hii tabia ya wanahabari huru kukamatwa kwa uchochezi ni jambo la kufungiwa macho na vyombo husika?
2. Je wanaoelimisha wananchi,na kuishia kupewa kesi za uchochezi,serikal wangependa waandike nini ili wasilete uchochezi?