Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Sasa ngoja nirudi kwenye sababu yangu.
Baada ya mateso na manyanyaso hayo yote, dhamira ya Wachina na serikali ya Beijing imekuwa ni kuitawala dunia "take over/control the world" katika nyanja zote kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni
kwa hiyo unafurahia wachina kuteka DUNIA????
Baada ya mateso na manyanyaso hayo yote, dhamira ya Wachina na serikali ya Beijing imekuwa ni kuitawala dunia "take over/control the world" katika nyanja zote kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni
kwa hiyo unafurahia wachina kuteka DUNIA????