Tunyanyue sauti:- MV LIEMBA (100 YEARS OLD) Isitishe huduma zake katika ziwa Tanganyikia

Kuna mahali nilisoma kuwa MV Liemba is the oldest ocean going sea vessel today. Ninachosikia ni kwamba Wajerumani wanaihitaji hiyo meli irudi kwao. Walikwishafikia uongozi wa mkoa wa Kigoma. Kwa sababu sikuwa nimehudhuria kikao hicho, nasikia tu kwamba uongozi wa Kigoma ulitaka kuwapatia hiyo meli, in exchange na kujengekewa chuo kikuu cha Kigoma.

Kwa ufupi meli bado ni nzuri sana na miaka ya 1985 -1987 meli ilifanyiwa ukarabati mkubwa na gadgets za kisasa kwenye vyumba vyake. It it our pride. Iendelee kutwanga kazi, tunaipenda.
 
Kuna mahali nilisoma kuwa MV Liemba is the oldest ocean going sea vessel today. Ninachosikia ni kwamba Wajerumani wanaihitaji hiyo meli irudi kwao. Walikwishafikia uongozi wa mkoa wa Kigoma. Kwa sababu sikuwa nimehudhuria kikao hicho, nasikia tu kwamba uongozi wa Kigoma ulitaka kuwapatia hiyo meli, in exchange na kujengekewa chuo kikuu cha Kigoma.

Kwa ufupi meli bado ni nzuri sana na miaka ya 1985 -1987 meli ilifanyiwa ukarabati mkubwa na gadgets za kisasa kwenye vyumba vyake. It it our pride. Iendelee kutwanga kazi, tunaipenda.
 
Pia ipo nyingine ziwa Victoria inafanya kazi zake kati ya Mwanza na Ukerewe inaitwa MV CLARIAS! Sijui umri wake excatly lakini ilitengenezwa KABLA YA UHURU.
 
305855_245755548817281_351519586_n.jpg 320033_245756265483876_1412222008_n.jpg

Hii meli ni kongwe sana iwekwe tu ipumzike...
 
Lakini mkuu wa kaya si alisema analeta ya kisasa yenye automatic gear!!!!!! kwi kwi kwi kwi kwi kwi
 
Hii meli ni kuipaki then tuanze kula ngawila za wajerumani waking tembelea Tz
Maana service za TZ zIlivyo za kimagumashi utasikia Sika imezama iyo alafu tuishie kusema ni Ajari tuu wakati kumbe ni Forecasted Accident
 
Tatizo wanaohusika wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. Hivyo hata tukinyanyua sauti hawatasikia! Time's up 4 CHANGE!
 
Wakati wabongo tunawaza isimamishwe, Wajerumani wametenga mabillioni ili itengenezwe upya!
Ni kweli Mkuu. Wajerumani walitaka wairudishe kwao ili watutengenezee nyingine ya kisasa. Lakini Serikali iliishitukia janja yao!
 
Jamani tusikurupukew hi kitu ni dhahabu yani ipo bomba na watu wana ililia,
imetoka kufanyiwa ukarabati mkubwa miaka ya juzijuzi tu!


Umesema kweli Kibanga
MV Liemba jina lake lina miaka mia.
Lakini vifaa vyote ikiwa pamoja na Twin Engines (B&W),Body lake aka Hull hata Bridge facilitities (steering room-kwa captain) zote ni za kisasa.
Kwa taarifa tu ni kwamba serikali haitaki kusema ukweli ili iendelee kupata watalii.
Kuna swali lingine labda?
 
Tanganyika is a priviledged, favored and unique country. We have the oldest sailing ship in the deepest, longest and oldest lake in the world. We should not abandon this ship, instead we need to continue with our country's positive uniqueness nation. We need to strive for 'having the oldest, most safe ship sailing in the deepest, longest and oldest lake Tanganyika'. If we succeed to do that, this will turn from being a life threatening vessel into one of our national tourist attractions.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom