Tunu Pinda kamuuliza Mh. Mizengo Pinda swali kwenye mkutano wa hadhara

Kama ni Ngudu/kwimba ni kwao so anawalilia ndugu na jamaa zake wapunguziwe shida ya maji mana dumu wananunua buku...
 
Nimeona maajabu sana. Katika ziara za Waziri mkuu wa Tanzania kanda ya ziwa kaambatana na mkewe. Baada ya kuona Raia hawamuelewi waziri mkuu, Tunu Pinda ikabidi aulize swali kwa niaba ya wakazi wa sehemu husika.
Aliuliza;
Sisi wanawake wa hapa tunapata tabu sana katika kuchota maji hadi nywele za katikati hazikui sababu ya kujitwisha chungu, je serikali itatusaidiaje?.
Waziri akajibu;
Nimeambiwa zinahitajika mil 200 kuondokana na tatizo, hizo mil 200 nitawapeni bila tatizo.
Hii imekaaje?. mia

Hilo swali walilifanyia mazoezi chumbani kabla Mama hajalileta hadharani. Ametudhalilishia Mama zetu wa eneo hilo kana kwamba hawayajui matatizo yao. Lakini sishangai ndo tabia ya Magamba hiyo.
 
ni MAGU alikuwa na msafara wa magari kama mia na kitu. Pia aliulizwa swali na mama mmoja kuhusu serekali kutangazia wananchi huduma za kujifungua ni bure ili hali hospt hakuna hata glovis na pamba,Pinda hakuweza kumjibu

Hapo ndo utaona kwamba lile swali la Nywele za katikati waliulizana chumbani kisha wakalileta kwenye mkutano ndo maana akashindwa kujibu swali zuri la Mwanamama ambaye hapendi kupigwa changa la macho
 
Hivi huyo si msaidizi wa Slaa wa kumkumbusha? Kama jibu ni ndio, kwanini iwe mwao kwa Pinda?

Mkewe hana haki ya kumkumbusha? mbona mkitaka michango mnamtumia? au umesahau, alivyopigania michango ya timu ya netiboli ya wanawake Tanzania?

Hivi wewe una mke au mume nyumbani? au bado hujaoa au kulewa? kama huna na bado, basi ukikuwa utayajuwa
majukumu ya mke kwa mume ni yepi.

Ni mume na baba wa mtoto mmoja mkuu ila mke wangu hagusi mambo ya ofisini kwangu as wengine ethically mke akigusa ofisini na feelings zake basi wengine maisha yao yataathirika.......halafu kwa nini mimi namzungumzia PM wewe unaniletea mambo ya mke wa mtu mwingine....huyu ni nani katika nchi hii????

Mmmh na kama ukubwa ndo huu unaoniambia nikikua ntayaona then better nibaki na ujana wangu for good........a clear dermacation between public and private entities as a feature of Beaurocracy ndo najitahidi kuitafuta ........

Mi naongelea a Government icon and you keep dragging this topic into political arena................Cant we check this scenario without a political lens?????
 
Ni mume na baba wa mtoto mmoja mkuu ila mke wangu hagusi mambo ya ofisini kwangu as wengine ethically mke akigusa ofisini na feelings zake basi wengine maisha yao yataathirika.......halafu kwa nini mimi namzungumzia PM wewe unaniletea mambo ya mke wa mtu mwingine....huyu ni nani katika nchi hii????

Mmmh na kama ukubwa ndo huu unaoniambia nikikua ntayaona then better nibaki na ujana wangu for good........a clear dermacation between public and private entities as a feature of Beaurocracy ndo najitahidi kuitafuta ........

Mi naongelea a Government icon and you keep dragging this topic into political arena................Cant we check this scenario without a political lens?????

Kuna kazi na kazi. Kazi yako si ya utumishi wa watu. Ungekuwa japo na ki grocery mkeo angekusaidia ukipenda usipende.
 
Kuna kazi na kazi. Kazi yako si ya utumishi wa watu. Ungekuwa japo na ki grocery mkeo angekusaidia ukipenda usipende.

Mkuu kazi yangu ninahusika na kuwatumika watu 100%..........ila nauliza tu ni wapi tunaweza kuchora mstari kuwa hapa ni public and official na wapi ni private katika hili?????
 
Mkuu kazi yangu ninahusika na kuwatumika watu 100%..........ila nauliza tu ni wapi tunaweza kuchora mstari kuwa hapa ni public and official na wapi ni private katika hili?????

Kwa Waziri Mkuu, private ni anapokuwa nyumbani kwake tu. Na hata hapo pia kuna majukumu ya kutumikia umma yanamfata.

Hivi kacheo kako ka utumishi wa umma kamefikia udiwani? ubunge? uwaziri? uwaziri mkuu? au ni mjumbe wa nyumba kumi? Mwenyekiti serikali za mitaa?
 
Kwa Waziri Mkuu, private ni anapokuwa nyumbani kwake tu. Na hata hapo pia kuna majukumu ya kutumikia umma yanamfata.

Hivi kacheo kako ka utumishi wa umma kamefikia udiwani? ubunge? uwaziri? uwaziri mkuu? au ni mjumbe wa nyumba kumi? Mwenyekiti serikali za mitaa?


Dah haya kaka....... I am a professional Civil Servant with degrees from Uni.....ila swali langu hujalijibu naona imekuwa kizungumkuti tuuu......nimekosa nafasi ya kujifunza kutoka kwako leo.

Alamsik
 
Maigizo tu, kuchezea watu akili, hakuna kitu bali upuuzi tu, unajua wanatuona ss wajiiiiiiiinga, wanataka ionekane kuwa mke wa PM anawapenda wananwake na kuwatetea, HAKUNA KITUUUUUUU ... MAIGIZO TU
 
hehehe nakumbuka ule wimbo .......baba kauliza swali iliniulize swali mama kanipa jibu....... Ahsanteni kwakuja. hii ndiyo ya Mizengo na mkewe. mama pinda kauliza swali ili wananchi waulize swali ila baba kampa jibu ili wananchi waulize swali lkn bahati mbaya hawajauliza. Hivi mama pinda anajua matatizo ya hiyo sehemu? Langu jicho
 
Naona watu wengi wanakuwa wakali sana...... Lets see Action Zao tu Ziara ni Moja ya majukumu ya serikali kuona Maendeleo ya Nchi mimi upande wangu sio Tatizo Waziri Mkuu kufanya ziara kwao....
 
Sioni tatizo kwa Tunu Pinda kumuuliza mh. Mizengo Pinda, Tunu ni mwananchi kama walivyo wananchi wengine zipo kero ambazo hawezi kumuuliza mzaa chema nyumbani hiyo ni haki yake hata Josephine ana haki ya kumuuliza slaa mambo yanayogusa wananchi

Chama

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
hahahaha yani anajitekenya mwenyewe alafu anacheka mwenyewe hahaha very fun hicho ndio chama cha mapinduzi bwana aisee
 
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa Moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa Moyo woteeeeee
 
Back
Top Bottom