Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
ulikuwepo au unataka kumsafisha kiaina kama kawaida yenu?Alikuwa hajasikia swali aliloulizwa na mmoja ya waliopo mkutanoni, Tunu kalirudia tu.
ulikuwepo au unataka kumsafisha kiaina kama kawaida yenu?Alikuwa hajasikia swali aliloulizwa na mmoja ya waliopo mkutanoni, Tunu kalirudia tu.
usanii tu huo ili wananchi wadhani anawajali kumbe chenga tu.nimeona maajabu sana. Katika ziara za waziri mkuu wa tanzania kanda ya ziwa kaambatana na mkewe. Baada ya kuona raia hawamuelewi waziri mkuu, tunu pinda ikabidi aulize swali kwa niaba ya wakazi wa sehemu husika.
aliuliza;
sisi wanawake wa hapa tunapata tabu sana katika kuchota maji hadi nywele za katikati hazikui sababu ya kujitwisha chungu, je serikali itatusaidiaje?.
Waziri akajibu;
nimeambiwa zinahitajika mil 200 kuondokana na tatizo, hizo mil 200 nitawapeni bila tatizo.
*hii imekaaje?. Mia
Nimeona maajabu sana. Katika ziara za Waziri mkuu wa Tanzania kanda ya ziwa kaambatana na mkewe. Baada ya kuona Raia hawamuelewi waziri mkuu, Tunu Pinda ikabidi aulize swali kwa niaba ya wakazi wa sehemu husika.
Aliuliza;
Sisi wanawake wa hapa tunapata tabu sana katika kuchota maji hadi nywele za katikati hazikui sababu ya kujitwisha chungu, je serikali itatusaidiaje?.
Waziri akajibu;
Nimeambiwa zinahitajika mil 200 kuondokana na tatizo, hizo mil 200 nitawapeni bila tatizo.
Hii imekaaje?. mia
Hahahaaa!
Hilo onesho la hao mabingwa wa sanaa Tanzania lilifanyika wapi jamani?
ulikuwepo au unataka kumsafisha kiaina kama kawaida yenu?
ulikuepo.!?Alikuwa hajasikia swali aliloulizwa na mmoja ya waliopo mkutanoni, Tunu kalirudia tu.
ulikuepo.!?
Wewe Jee?
Alimuandaa ili aulize hilo swali!! Fedha za miradi ya maji kutoka kwa wafadhili ndio wanagawana kinyemela na kufanyia propaganda za kisiasa!!!