mikonomiwili
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 273
- 50
Kila mwaka serikali imekua ikitoa budget na inakua inapitishwa na bunge. Lakini maranyingi kume kua hakuna utekelezaji .
Nawatu wameenda mbali wakisema budget maranyingi inakua ni yakinataria zaidi hakuna utekelezaji wavitendo. na hapo ndo panapokuana mwanya wa watukutumia fetha kamatumizi ambayo hayakupangwa kwenye budget
so ningeshauri kuwa namfumo wakueleza waTazania kua katika budget ilio pita tumefanikiwa kwakiwango gani niwapi tume kwama na ningapi zimeibiwa na baada yahapo tujue sasa paletuliposhidwa mwaka jana tunapaongeza vipi.
lakini hiikilamwaka kuongeza bei zavinyaji na sigara haita tusaidia vyovyote ,Tunapaswa kuwe na ubunifu kunasehemu kubwa zakuwezapata vipato vingine bilakutegemea pombe sana. Tuna madini mengi mengine hata hayapatikani sehemu nyingine duniani. Tuna bahari kubwa sana tuna maziwa mengi Lakini ubunifu hakuna
mimi ningeshauri bunge linge kaa kuhoji kipengele kwakipengele ilebudgeti ya mwakajana imetusaidia vipi.
naamini asilimia kubwa ya wananchi hawajui budget inawasaidia nini zaidi yakuonavitu vinapanda bei
nimaoni yangu
Nawatu wameenda mbali wakisema budget maranyingi inakua ni yakinataria zaidi hakuna utekelezaji wavitendo. na hapo ndo panapokuana mwanya wa watukutumia fetha kamatumizi ambayo hayakupangwa kwenye budget
so ningeshauri kuwa namfumo wakueleza waTazania kua katika budget ilio pita tumefanikiwa kwakiwango gani niwapi tume kwama na ningapi zimeibiwa na baada yahapo tujue sasa paletuliposhidwa mwaka jana tunapaongeza vipi.
lakini hiikilamwaka kuongeza bei zavinyaji na sigara haita tusaidia vyovyote ,Tunapaswa kuwe na ubunifu kunasehemu kubwa zakuwezapata vipato vingine bilakutegemea pombe sana. Tuna madini mengi mengine hata hayapatikani sehemu nyingine duniani. Tuna bahari kubwa sana tuna maziwa mengi Lakini ubunifu hakuna
mimi ningeshauri bunge linge kaa kuhoji kipengele kwakipengele ilebudgeti ya mwakajana imetusaidia vipi.
naamini asilimia kubwa ya wananchi hawajui budget inawasaidia nini zaidi yakuonavitu vinapanda bei
nimaoni yangu