Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Mara nyingi kuna vitu sita ambavyo mtu huangalia katika kuchagua mume/mke. BAHATI MBAYA PENZI LINA UWEZO WA KUFOWADI AU KUDILITI VITU HIVYO na ukajikva umeingia kwenye ndoa bila kuvitafakari. Vitu hivyo ni A, B, C, D, E na F. A = Age ya mwenza ukilinganisha yako, B = body stracture ya mwenza, C =Characteristics zenu, D = decipline, E = education level zenu, F = family background zenu.