Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,817
Jamani huyu mdada anaelezea jinsi wanavyo wachukua watu na kuwafanya misukule, na anaeleza jinsi wanavyo roga na kutesa watu
Kiss FM kuanzia saa tano na robo asubuhi ya leo, hadi sasa show inaendelea, sasa watu wanauliza maswali
unaweza kuipata toka mwanzo ilivyoanza ukatuwekea hapa......maana ndo tushaichelewa hiyo.....
Acheni imani potofu, mpaka leo bado kuna watu wana amani vitu kama hivi, wenzenu wanahangaika kutafuta dawa za magonjwa sugu nyie bado mnawaza uchawi. shule bado sana kwa wengi
Jamani huyu mdada anaelezea jinsi wanavyo wachukua watu na kuwafanya misukule, na anaeleza jinsi wanavyo roga na kutesa watu