Martin Mwila
Member
- Nov 12, 2011
- 17
- 1
The was a meeting in tunduru by chadema leadership in the village of masonya on 27/05/2012 about 20 pipo returned ccm cards and they got chadema.
M4c at work
M4c at work
The was a meeting in tunduru by chadema leadership in the village of masonya on 27/05/2012 about 20 pipo returned ccm cards and they got chadema.
M4c at work
Mkuu, nakubaliana na wewe...hata mimi nimewahi hishi Tunduru. Lakini now days wakazi wa Tunduru wamebadilikaMh! Tunduru?
Kwa nijuavyo hakuna sehemu ngumu kama Tunduru kwa mabadiliko ya kisiasa.
CUF ndicho chama pekee cha upinzani chenye nguvu.
CHADEMA wana diwani mmoja tu. Bwana Kazembe wa kata ya LIGUNGA.
Lakini wana mtaji tayari, kwani ktk kata ile CHADEMA imeigalagaza CCM na CUF mihula mitatu ya uchaguzi mfululizo.
Naifahamu Tunduru kiasi nimewahi kufanya kazi kule miaka ya 2004-2007.