Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 664
- 334
Yaa, nami nipo katika maeneo haya kwa ujumla uhalibifu umefanywa kwenye jengo la mamlaka ya mji mdogo wa Tunduma ambapo gari jipya Land cruser pick up double cabin limeharibiwa vibaya, compyuta za ofisini pamoja na laptop zimeibiwa, nyaraka zilizokuwa makabatini na kwenye maeneo mengine ofisini zimebebwa na wananchi na kuchomwa moto, Mabati na saruji vilivyokuwa stoo vimeibiwa na vitu vingine kuharibiwa, kamati ya ulinzi na usalama imeenda huko wakati tayari hali imekuwa shwari, naendelea kufuatilia nipo karibu nao