Baadhi ya WanaJF si wakweli kwani wao walikuwa wanashinikiza Zitto afukuzwe sasa leo wanageuka kinyonga kwa kusema afadhali hakuna mpasuko chadema,nilisema toka mwanzo kuwa humu kuna watu wanafata mkumbo tuu hawana uhalisia, si wake si waume!Tatizo ni shule za vichochoroni walizopitia bila kuelimika.