S.N.Jilala
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 540
- 507
Hakika mbunge TUNDU LISU NI SHUJAA,HAKIKA CDM HAWAMEZI MANENO KUHUSU MUUNGANO. Wabunge wa Zanzibar CCM NA CUF pamoja na wale wa CCM BARA walikuzomea sana. Najua umekuwa ukirudia serikali tatu, Zanzibar,Tanganyika na kuwepo na masuala ya Muungano 2kubaliane. Leo ajitokeze mtu amzomee Tundu Lisu tena pamoja na CHADEMA.kWA kuchoma makanisa Wazanzibar mjue ni aibu sana ambayo mmeionyesha mbele ya Watanzania wote. Jueni mna ndugu wengi sana huku Tanzania bara,tunaishi nao vizuri sana. Kuna wanafunzi vyuo vingi huku kutoka Zanzibar. Mwaisho kabisa mimi nailaumu serikali kwa hili suala la udini. Mfano mzuri,angalieni MOROGORO ISLAMIC UNIVERSITY, inasikitisha kuona selection za wanafunzi karibu asilimi 90 ni Waislaum,tunaambiwa TCU ndo wanaselect,Why not ST AUGUSTINE,ST JOHN. Jamani udini ni mbaya sana,nawaombeni ndugu zangu mjirekebishe. TUNDU LISSU ANAONGEA UKWELI TUPU MUUNGANO UJADILIWE KWA UWAZI. LISSU ENDELEA WATAKUJA WAJUE KUWA HUWACHUKII WAZANZIBAR BALI WEWE UNASEMA UKWELI WOTE.