Tundu Lisu, Mchungaji Msigwa na Godbless lema out

mtoto wa mfugaj

Senior Member
Jul 18, 2011
136
29
baada ya wabunge wa3 wa cdm kutolewa nje baada ya kuongea bila kuruhusiwa nasubiri kwa hamu kuona kama hatua hii itachukuliwa endapo wabunge wa ccm watafanya kosa hilo.ni vyema swala hili la kuzungumza bila ruhusa likomeshwe maana bunge ni chombo muhimu kinachoongozwa na kanuni,tuziheshimu kanuni hizi na tuzitumie kuwasilisha matatizo ya wananchi.inawezekana kuongea na kufikisha hoja na malalamiko bila kuvunja kanuni.wenyeviti wa bunge na maspika wawe fair tutafika tu.pamoja tunajenga taifa.
 
baada ya wabunge wa3 wa cdm kutolewa nje baada ya kuongea bila kuruhusiwa nasubiri kwa hamu kuona kama hatua hii itachukuliwa endapo wabunge wa ccm watafanya kosa hilo.ni vyema swala hili la kuzungumza bila ruhusa likomeshwe maana bunge ni chombo muhimu kinachoongozwa na kanuni,tuziheshimu kanuni hizi na tuzitumie kuwasilisha matatizo ya wananchi.inawezekana kuongea na kufikisha hoja na malalamiko bila kuvunja kanuni.wenyeviti wa bunge na maspika wawe fair tutafika tu.pamoja tunajenga taifa.
<br />
<br />
hawa jamaa walivumilia sana baada ya kuonewa sana,kunyanyaswa sana na kutotendewa sana haki
 
Cha kushangaza ni kwamba huu uataratibu unatumika tu kwa wabunge wa chama cha upinzani!!
 
Cha kushangaza ni kwamba huu uataratibu unatumika tu kwa wabunge wa chama cha upinzani!!

Tunachoshukuru, sisi wananchi tuona yote yanayoendelea, pamoja na kuwatoa hao wabunge ukweli tunaujua, haya maonezi kwa wapinzani yataenedela mpaka lini?????????
 
hawa jamaa walivumilia sana baada ya kuonewa sana,kunyanyaswa sana na kutotendewa sana haki

Hivi kwa mfano, baada hicho kinachoitwa kulihutubia bunge kulikofanywa na waziri lukuvi kinyume cha sheria kama anavyosema Lissu kumetokea mabadiliko gani ambayo Lissu alishindwa kuvumilia kusubiri amalize? Hivi tunapo taka kuwapa ushujaa si vyema pia tukajua walichokuwa wanakitetea? Kwa kuwa waziri alimaliza hiyo hotuba yake sasa Lissu na nyie mnaompongeza kwa nini msifanye kama Wenje kutueleza athari za ile hotuba?
 
Cha kushangaza ni kwamba huu uataratibu unatumika tu kwa wabunge wa chama cha upinzani!!
Usishangae maana hata Polisi wakiona mbunge wa upinzani kakusanya watu zaidi ya saa 12 anakamatwa hapohapo, ila mbunge wa CCM hata akiwa na tuhuma za mauaji au biashara haramu au lolote, Polisi wanaomba kibali toka ofisi ya Spika ili watimize wajibu wao. Hiyo ndio Tanzania.
 
mi naona uzoefu uwe fundisho kwa wapinzani hivyo kubadili mbinu ya kuwasilisha malalamiko yao,huenda kwa kufanya hivyo mambo yatabadilika,maana ccm na serikali yake imeonesha waziwazi kua na upendeleo na kuzima kila jitihada inayofanywa na wapinzani,wahenga walisema ukitaka kula na kipofu usimshike mkono.pamoja tunalijenga taifa.
 
Back
Top Bottom