FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,170
mkuu ndio kikwete ni dikteta. Amezingatia vigezo vya udikteta vya kutosha. Mkuu una wasiwasi na ilo?
Nipe japo moja la udikteta wa Kikwete.
Nakuuliza, ulikuwepo wakati wa Nyerere?
mkuu ndio kikwete ni dikteta. Amezingatia vigezo vya udikteta vya kutosha. Mkuu una wasiwasi na ilo?
Tundu Lisu hakubaliani na siasa za maandamano, kama vile asivyokubali Zitto na viongozi wengine wengi tu wa Chadema.
Naona posti zako nyingi unataja Maaskofu,nyerere vipi tena?wewe ni msuni,mshia au mbudda???Nipe japo moja la udikteta wa Kikwete.
Nakuuliza, ulikuwepo wakati wa Nyerere?
Kiongozi yeyote wa CDM mwenye mustakabari mzuri na nchi huwezi kumkuta kwenye maandano ya kuchochea vurugu,wala hawana isue yoyote inayowashughulisha isipokuwa wanamshangaa mbowe anavyomfariji slaa kwa vile walimtosa yeye hakuwa na plan ya kuwa rais, sasa kachemka ndo mbowe kupitia maaskofu wanajaribu kutafuta njia ya kumpeleka ikulu, hiyo CDM mmenoa. Tafuta list ya wabunge wa CDM ambao hawapo kwenye upuuzi huo kisha soma vizuri cv zao utaona kabisa ni tofauti na lema,mbowe, na slaa. We na lema, mbowe na slaa na kchwa?
Ingependeza sana kama maneno haya ungemwambia mkwere kwamba hana haja ya kukimbia nchi kila siku kwa sababu CHADEMA haina sapoti ya umma. badala ya kwenda kutafuta hifadhi ya kukimbilia umma utakapoamuwa aje alikubali tatizo, kwani kulijuwa tatizo na kulikubali ni nusu ya solution, Watanzania wako tayari Rais awe hata Yusuf Makamba, lakini awatekelezee mahitaji yao ya msingi. na ukitaka kujuwa ukweli wa hili, kama wewe sio kula kulala na una mke, hebu acha kumpa mahitaji yake ya msingi yeye na watoto uone kama kama hiyo nyumba itakuwa na furaha na amani.
Tundu Lisu hakubaliani na siasa za maandamano, kama vile asivyokubali Zitto na viongozi wengine wengi tu wa Chadema.
Kiongozi yeyote wa CDM mwenye mustakabari mzuri na nchi huwezi kumkuta kwenye maandano ya kuchochea vurugu,wala hawana isue yoyote inayowashughulisha isipokuwa wanamshangaa mbowe anavyomfariji slaa kwa vile walimtosa yeye hakuwa na plan ya kuwa rais, sasa kachemka ndo mbowe kupitia maaskofu wanajaribu kutafuta njia ya kumpeleka ikulu, hiyo CDM mmenoa. Tafuta list ya wabunge wa CDM ambao hawapo kwenye upuuzi huo kisha soma vizuri cv zao utaona kabisa ni tofauti na lema,mbowe, na slaa. Vijana msitumiwe kama madaraja kuleta vurugu kwa kudhani ndo solution ya matatizo.
inaelekea una CV syndrome una amini ktk cv za kutoka ssehem moja hadi nyingine. walowahi kufanya fanya kazi toka ktk ofisi ya fisadi mmoja hadi ya mwingine unawaona wana maana sana! siku hizi mwamuulizia Lisu wakai ana kesi za kusimamia kwa manufaa ya chama, yaani mwaka huu kila mwanaccm ataropoka lake lakini CHADEMA haitawasamehe maana kimeamua kujitoa katika ordhaya ya vyama vya musimu walvyozoea kuvibeza, sasa ni chama cha muda wote hadi 2015 kitakapoeleweka. Mtakoma tu.Kiongozi yeyote wa CDM mwenye mustakabari mzuri na nchi huwezi kumkuta kwenye maandano ya kuchochea vurugu,wala hawana isue yoyote inayowashughulisha isipokuwa wanamshangaa mbowe anavyomfariji slaa kwa vile walimtosa yeye hakuwa na plan ya kuwa rais, sasa kachemka ndo mbowe kupitia maaskofu wanajaribu kutafuta njia ya kumpeleka ikulu, hiyo CDM mmenoa. Tafuta list ya wabunge wa CDM ambao hawapo kwenye upuuzi huo kisha soma vizuri cv zao utaona kabisa ni tofauti na lema,mbowe, na slaa. Vijana msitumiwe kama madaraja kuleta vurugu kwa kudhani ndo solution ya matatizo.
we utakuwa na mtindio wa ubongo ,hivi umeachika mara ngapi kwenye ndoa yako km umewahi kuwa nayo?tundu lisu hakubaliani na siasa za maandamano, kama vile asivyokubali zitto na viongozi wengine wengi tu wa chadema.
Utakuwa umekula kiporo cha ugali asubuhi. Ila asante kwa kutupa pumba sababu inavyoonesha uwezo wako wa kufikiri.Tundu Lisu hakubaliani na siasa za maandamano, kama vile asivyokubali Zitto na viongozi wengine wengi tu wa Chadema.
Kiongozi yeyote wa CDM mwenye mustakabari mzuri na nchi huwezi kumkuta kwenye maandano ya kuchochea vurugu,wala hawana isue yoyote inayowashughulisha isipokuwa wanamshangaa mbowe anavyomfariji slaa kwa vile walimtosa yeye hakuwa na plan ya kuwa rais, sasa kachemka ndo mbowe kupitia maaskofu wanajaribu kutafuta njia ya kumpeleka ikulu, hiyo CDM mmenoa. Tafuta list ya wabunge wa CDM ambao hawapo kwenye upuuzi huo kisha soma vizuri cv zao utaona kabisa ni tofauti na lema,mbowe, na slaa. Vijana msitumiwe kama madaraja kuleta vurugu kwa kudhani ndo solution ya matatizo.