whistle blower
Member
- Jan 5, 2011
- 84
- 5
Ndugu zangu nauliza Tundu Lisu yuko wapi? hasikiki kwa muda sasa hata kwenye maandamano sijamsikia.
Tundu Lisu hakubaliani na sisa za maandamano, kama vile asivyokubali Zitto na viongozi wengine wengi tu wa Chadema.
Ww ndiye msemaji hovyo waoTundu Lisu hakubaliani na sisa za maandamano, kama vile asivyokubali Zitto na viongozi wengine wengi tu wa Chadema.
jambo usilolijua ni kama usiku wa giza...huna jipya
Nadhani anafuatilia kesi yake ambayo inakaribia hukumu.
:decision:ACheni unafiki! Tindu Lisu yupo kwenye shughuli maalum
Cdm wako very planned. Huwezi kukuta mawakili wanajihusisha moja kwa moja ili ccm wakileta udikteta,mawakili ndo wanazama mahakamani kuitetea cdm,sipati picha kama na wao wanashitakiwa nani ataitetea cdm? Kaa ujue,cdm wamejipanda,safari hii ccm watakoma.
Tundu Lisu hakubaliani na siasa za maandamano, kama vile asivyokubali Zitto na viongozi wengine wengi tu wa Chadema.
Hivi nakuuliza haswa! Katika madikteta unavyowajuwa wewe na Kikwete yumo?
Kiongozi yeyote wa CDM mwenye mustakabari mzuri na nchi huwezi kumkuta kwenye maandano ya kuchochea vurugu,wala hawana isue yoyote inayowashughulisha isipokuwa wanamshangaa mbowe anavyomfariji slaa kwa vile walimtosa yeye hakuwa na plan ya kuwa rais, sasa kachemka ndo mbowe kupitia maaskofu wanajaribu kutafuta njia ya kumpeleka ikulu, hiyo CDM mmenoa. Tafuta list ya wabunge wa CDM ambao hawapo kwenye upuuzi huo kisha soma vizuri cv zao utaona kabisa ni tofauti na lema,mbowe, na slaa. Vijana msitumiwe kama madaraja kuleta vurugu kwa kudhani ndo solution ya matatizo.
Kiongozi yeyote wa CDM mwenye mustakabari mzuri na nchi huwezi kumkuta kwenye maandano ya kuchochea vurugu,wala hawana isue yoyote inayowashughulisha isipokuwa wanamshangaa mbowe anavyomfariji slaa kwa vile walimtosa yeye hakuwa na plan ya kuwa rais, sasa kachemka ndo mbowe kupitia maaskofu wanajaribu kutafuta njia ya kumpeleka ikulu, hiyo CDM mmenoa. Tafuta list ya wabunge wa CDM ambao hawapo kwenye upuuzi huo kisha soma vizuri cv zao utaona kabisa ni tofauti na lema,mbowe, na slaa. Vijana msitumiwe kama madaraja kuleta vurugu kwa kudhani ndo solution ya matatizo.