Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Huyo mabula ajiandae kuutema huo uwaziri maana ubunge ndio huo unamtoka kiulainiiiiiiLisu akujiuzulu weye utafaidi nini?? Au ndo mshaamua mshindi ni huyo wa ccm? Andika kichwa cha habari chenye mantiki. Nilikimbilia nkidhani kuwa Lisu kashikwa kichaa kumbe ni mwandishi kichaa!