swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,251
- 1,467
Yanayojiri Ubunge jimbo la Nyamagana Jiji la Mwanza.
Ndugu zangu yule Mwanasheria nguli na mahili(International Lawyer) hivi karibuni ameahidi kujuhuzulu nafasi yake ya ubunge.
Haya yalijiri pale mahakama kuu ya Tanzania kanda ya ziwa Mwanza mara baada ya kesi ya kupinga ushindi wa ubunge wa Mabura,Stanislaus.
Baada ya mahakama kuomba vielelezo vya ushindi wa Mabula,Alikimbilia halmashauri ya jiji na kuleta mabox ya kura na kusema ndiyo ushahidi wake wakati mshindi anayedai kuporwa ushindi wake mh.E.Wenje akileta fom namba 21 zilizosainiwa na mawakala wote zikionesha wazi alishinda(kwa mujibu wa form)
Hakimu aliomba mh.Mabula kuwasilisha vielelezo vingine nje ya box kwa kuwa kwanza bix ni mali ya tume na mahakama haifanyi kazi ya tume ya kufungua mabox.
Mh.Mabula alisema yeye alivichoma vielelezo vingine baada ya kuona havina maana tena(kwa maelezo yake nje ya mahakama)
Baada ya hapo Wakili anayemtetea Mh.Ezekiel Dibogo Wenje ndugu Tundu Antiphas Mung'wai Lissu nje ya mahakama alimfuata Mbunge huyo wa ccm na kumuahidi kwamba kwa kuja na mabox akishinda hiyo kesi atalazimika kumnunulia gari yenye thamani ga pesa za kitanzania 25 ml pamoja na kujiuzulu ubunge katika jimbo lake.
Kesi inasubiri kupangiwa hakimu na kusikilizwa kwa awamu ya mwisho.Hii ni baada ya siku ya jumanne wiki iliyopita umati mkubwa wa watu na wafuasi wa Chadema na Ukawa kujaa eneo la mahakama wakisubiri kusikiliza mwenendo wa kesi hiyo na kuambiwa kuwa siku hiyo haitasikilizwa tofauti na taarifa zilizokuwa zimetolewa siku ya tarehe 02/02/2016 ambapo haikusikilizwa kwa kuwa ilikuwa wiki ya sheria.
Stay tuned,get informed.
Ndugu zangu yule Mwanasheria nguli na mahili(International Lawyer) hivi karibuni ameahidi kujuhuzulu nafasi yake ya ubunge.
Haya yalijiri pale mahakama kuu ya Tanzania kanda ya ziwa Mwanza mara baada ya kesi ya kupinga ushindi wa ubunge wa Mabura,Stanislaus.
Baada ya mahakama kuomba vielelezo vya ushindi wa Mabula,Alikimbilia halmashauri ya jiji na kuleta mabox ya kura na kusema ndiyo ushahidi wake wakati mshindi anayedai kuporwa ushindi wake mh.E.Wenje akileta fom namba 21 zilizosainiwa na mawakala wote zikionesha wazi alishinda(kwa mujibu wa form)
Hakimu aliomba mh.Mabula kuwasilisha vielelezo vingine nje ya box kwa kuwa kwanza bix ni mali ya tume na mahakama haifanyi kazi ya tume ya kufungua mabox.
Mh.Mabula alisema yeye alivichoma vielelezo vingine baada ya kuona havina maana tena(kwa maelezo yake nje ya mahakama)
Baada ya hapo Wakili anayemtetea Mh.Ezekiel Dibogo Wenje ndugu Tundu Antiphas Mung'wai Lissu nje ya mahakama alimfuata Mbunge huyo wa ccm na kumuahidi kwamba kwa kuja na mabox akishinda hiyo kesi atalazimika kumnunulia gari yenye thamani ga pesa za kitanzania 25 ml pamoja na kujiuzulu ubunge katika jimbo lake.
Kesi inasubiri kupangiwa hakimu na kusikilizwa kwa awamu ya mwisho.Hii ni baada ya siku ya jumanne wiki iliyopita umati mkubwa wa watu na wafuasi wa Chadema na Ukawa kujaa eneo la mahakama wakisubiri kusikiliza mwenendo wa kesi hiyo na kuambiwa kuwa siku hiyo haitasikilizwa tofauti na taarifa zilizokuwa zimetolewa siku ya tarehe 02/02/2016 ambapo haikusikilizwa kwa kuwa ilikuwa wiki ya sheria.
Stay tuned,get informed.