Na kweli umenena Kama ilivyo ID yako kuwa normal flora Wa kule kunakokusaidia kufikiri
Tundu Lusu zaidi anauzoefu wa hali ya juu wa siasa na kazi
Alikuwa Program Ofisa wa NGO
Amekuwa mbunge kwa miaka miwili
Uzoefu huu hakuna kiongozi yeyote duniani anaweza mzidi.
utashindanishaje pombe na togwa?Nafikiri lisu anajiandaa kuwa kiongozii wa juu wa serikali ya chadema ,na mimi naamini anauwezo hata wa kuwa waziri mkuu embu nijuzeni kati ya lisu na pinda nani anafaa kuwa waziri mkuu
Nakuunga mkono. Tatizo hujasema uzoefu wa kufanya nini?
Angalau wa Pinda tunaujua.
- ana uzoefu wa kusema uongo bungeni.
-ana uzoefu wa kuzidiwa nguvu na mafisadi. Si unakumbuka alipokiri mafisadi hawakamatiki na tukiwakamata nchi itayumba?
-ana uzoefu wa kushughulikia wanaogoma kudai haki. si unakumbuka aliposema liwalo na liwe kwa madaktari kesho yake tu kiongozi wao alikutwa Mabwepande hana meno, na ameg'olewa kucha?
-ana uzoefu wa kuficha ukweli wabunge. mfano mradi wa meremeta alidai ni usalama wa taifa wakati kwenye mradi kuna wazungu wa nje. yaani usalama wa taifa wetu wazungu wanashirikishwa lakini wabunge wetu hawatakiwi kujua chochote.
- Ana uzoefu wa kufanywa zuzu na Mr Dhaifu. si unakumbuka alisema serikali haitanunua magari mapya kwa viongozi akiwamo yeye mwenyewe lakini haikupita muda yakanunuliwa (hakujua kwamba anataka kuzuia madili ya wenzake). si unakumbuka pia Mr Dhaifu alivyomgeuka issue ya Jairo?
Kwa kweli Pinda ana uzoefu jamani.
Ukiongea kwamba Lissu amekuwa mbunge kwa miaka miwili hapo, Je Pinda anauzoefu wa siasa miaka miaka mingapi?Tundu Lusu zaidi anauzoefu wa hali ya juu wa siasa na kazi
Alikuwa Program Ofisa wa NGO
Amekuwa mbunge kwa miaka miwili
Uzoefu huu hakuna kiongozi yeyote duniani anaweza mzidi.
We unatakiwa ukatubu kabla siku ya hukumu haijafika. Yaani Lissu anamkaibia Yesu. sijapata onaBwahahahahahaha! Tundu Lusu anakaribiana sifa zake na Yesu kristo wa Nazareti aliyekufa msalabani golgota.
Ukiongea kwamba Lissu amekuwa mbunge kwa miaka miwili hapo, Je Pinda anauzoefu wa siasa miaka miaka mingapi?
Hana uzoefu kabisa eti alikuwa akifanya kazi ikulu tangu enzi za Nyerere, amekuwa katibu wa baraza la mawaziri, akawa waziri ndipo kachaguliwa kuwa waziri mkuu. Huwezi kumlinganisha Lissu ambaye hata kadi yake ya CDM imeandikwa July 2010 na amefanya kazi kwenye NGO. Lissu yupo juu.
Bange za mchana ni sooooooooooooooooo,UNAWEZA KUMLINGANISHA LISU NA PINDA KWELI??JITU LINALOLIA BUNGENI LILILOSHINDWA HATA KUSIMAMIA MISIMAMO YAKE??KWANZA UKIMWANGALIA PINDA VIZURI USONI UTAGUNDUA KUWA NI AB NOMO HAWEZI KULINGANISHWA HATA NA MWENYEKITI WA KATA WA BAVICHA