Rutakyamilwa
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 1,872
- 1,235
Leo wakati unachangia hoja ya Mh. Mwakyembe, ulisema kuwa katika hotuba yake hakutaja mahali popote ambapo alitaje ajali ya MV Skagit na kutoa pole kwa wahanga. Mbunge mwenzako akatoa preliminary objection kuwa ukurasa wa tatu, aya ya 6 yote uliyolalamika yamefanywa na Mh Mwakyembe. Mh. Tundu Lisu, umeniangusha sana leo. Sikutegemea kuwa ungelileta hoja ambayo hujaifanyia utafiti.
Mwakyembe alitaja na kutoa pole yaliyotokea MV Skagit. Suppose you were in the Court of Law, a preliminary objection would have been raised against you. That would have been fatal to your client- by stiking out the incompetent application/appeal etc as being incompetent with costs!!!! It was good that you conceded defeat, that was brave!
Ni funzo usifanye hivyo tena, tunakuamini sana as a competent lawyer/politician to make such a simple mistake. Nina wasiwasi kama una ushahidi wa kuhongwa kwa uliowataja na umetakiwa kutoa ushahidi. Naanza kuwa na mashaka!!!
Mwakyembe alitaja na kutoa pole yaliyotokea MV Skagit. Suppose you were in the Court of Law, a preliminary objection would have been raised against you. That would have been fatal to your client- by stiking out the incompetent application/appeal etc as being incompetent with costs!!!! It was good that you conceded defeat, that was brave!
Ni funzo usifanye hivyo tena, tunakuamini sana as a competent lawyer/politician to make such a simple mistake. Nina wasiwasi kama una ushahidi wa kuhongwa kwa uliowataja na umetakiwa kutoa ushahidi. Naanza kuwa na mashaka!!!