nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,733
- 6,970
Nyie ndo mnaowapa mizigo wabunge kwa uelewa wenu mdogouelewa wako wewe ni sawa na yanga kumsajiri messi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndo mnaowapa mizigo wabunge kwa uelewa wenu mdogouelewa wako wewe ni sawa na yanga kumsajiri messi
Duuh! Ha ha haNi sawa na kuulizia bahari Arusha!
Mbunge Tundu Lissu nakukubali sana kwa mchango wako katika taifa ila kwa uelew wangu mimi naona ulivowaambia watu wa jambo lako wakate mkaa kwel hapo hujaamua vizuri.
Vjana wote wamekat miti kwa kujiamin kwamba eti hakuna mtu atakaewasumbua ina sasa wamemalza miti yote hakuna mapori tena.
Mbunge Tundu Lissu nakukubali sana kwa mchango wako katika taifa ila kwa uelew wangu mimi naona ulivowaambia watu wa jambo lako wakate mkaa kwel hapo hujaamua vizuri.
Vjana wote wamekat miti kwa kujiamin kwamba eti hakuna mtu atakaewasumbua ina sasa wamemalza miti yote hakuna mapori tena.
Huwa nawashangaa wanao fuata Akili za tundu lissuJimboni kwa Tundu LISSU yeye ndie Afisa misitu na afisa kila kitu.Haheshimu wataalamu wengine.Afisa misitu akisema msikate miti yeye anasema kateni chomeni mkaa.
Kwa taarifa yako gwiji lenu la sheria Masaju huwa anamwamkia Lissu shikamoo, sio ya umri bali ya woga wa ujuziHuwa nawashangaa wanao fuata Akili za tundu lissu
singida hakuna miti ...kuna vichaka...acha uongo
Wewe ni mgumu kuelewa. Singida ilikuwa na miti mingi asilia kuliko hata miti ya kupandwa ya Mafinga au Njombe.Tuache ushabiki au apambe kwa Lissu.Kama anaruhusu miti ikatwe basi huyo hatufai.Singinda miti imetoka wap miti inapatikana mafinga
Yani we bwana sijui kwanini wale wakora hawakukubana mpaka ufe...Huwa nawashangaa wanao fuata Akili za tundu lissu
Acha ujinga wewe.....Singida nimeishi tangu udogo wangu....Lissu amekuwa Mbunge mwaka 2010....Hakuna Misitu singida kuna Vichaka.....Acha UongoWewe ni mgumu kuelewa. Singida ilikuwa na miti mingi asilia kuliko hata miti ya kupandwa ya Mafinga au Njombe.Tuache ushabiki au apambe kwa Lissu.Kama anaruhusu miti ikatwe basi huyo hatufai.
hahahahaah....amucha mbojoUnapotoa tuhuma ni vizuri ukawa na ushahidi.Humu jukwaani tupo wengi tuliozaliwa na kukulia huko.Hivyo usikurupuke tu na kuanzisha uzi bila utafiti.
Wewe ndio unauelewa mdogo kwa sbb haujui kazi za mbunge wako.uelewa wako wewe ni sawa na yanga kumsajiri messi
HEBU Tuambie Hizo Kazi Za Mbunge Ni Zipi Mkuu!!Wewe ndio unauelewa mdogo kwa sbb haujui kazi za mbunge wako.
........ni aibu taiafa kuwa na vijana wa namna yako.......watu kama wewe korea wanawachinja ili mbwa wapate chakula.......uelewa wako wewe ni sawa na yanga kumsajiri messi
madhara ya tendo la ndoa kufanyikia chooni ndio haya kunazaliwa viumbe wa hovyo sana laumu wazazi wako........ni aibu taiafa kuwa na vijana wa namna yako.......watu kama wewe korea wanawachinja ili mbwa wapate chakula.......