Geeque
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 936
- 316
hahahahaahha yeah Mazee si umesikia ndio hivyo lakini kitu kizuri ni kwamba ameongea vya kutosha. Tunashukuru pia wasikilizaji wote ambao mmeweza kujiunga na kusikiliza hayo mahojiano.Tunashukuru sana Geeque na MKJJ kwa mahojianao.....duhh mshikaji nimeisikia ile warning ya one minute........anyway si haba, wako watakao jitokeza kuku-support
Inshallaah