Manyi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 3,253
- 604
Kwa sisi tuliosoma nahao enzi hizo tunakumbuka tulifundishwa kuwa " debe tupu haliachi ............?
Ha ha haaa, mkuuu umenikumbusha mbali sana....debe tupu haliachi kutika!
Kwa sisi tuliosoma nahao enzi hizo tunakumbuka tulifundishwa kuwa " debe tupu haliachi ............?
Oh! bila kigezo cha shule unapimaje hizo akili hapa Tz??? Labda asingetaja akili ili ajenge hoja kwenye ufitiniSuala ni kupima maneno yake kuwa Tundu Lisu ni mfitini na mtu asiye na akili kama yana ukweli wowote. Kutuletea elimu yake hapa haitasaidia kumfanya Tundu Lisu kuwa na akili au kuwa siyo mfitini. Hili suala la elimu ya huyu Mheshimiwa linatakiwa lianzishiwe mjadala mwingine ambao hauna uhusiano wowote ule na maoni aliyotoa juu ya TUNDU.
Suala ni kupima maneno yake kuwa Tundu Lisu ni mfitini na mtu asiye na akili kama yana ukweli wowote. Kutuletea elimu yake hapa haitasaidia kumfanya Tundu Lisu kuwa na akili au kuwa siyo mfitini. Hili suala la elimu ya huyu Mheshimiwa linatakiwa lianzishiwe mjadala mwingine ambao hauna uhusiano wowote ule na maoni aliyotoa juu ya TUNDU.
Mkuu Shossi huku kwetu hata ukiona unyayo wa kiboko asbh unatambua alikuwa jike au dume. hapo kwenye samaki ndo usiseme. karibu sana kwetu upate darasa la bureMkuu habari yako,
Kuwa na elimu ya juu zaidi ya mwenzio haina maana wewe una akili kuliko ambae hajasoma level yako! Mfano mdogo mimi wazee wapo ambao hawajasoma na wapo waliosoma elimu ya juu zaidi lakini wanawaheshimu wazee (mama yao na ndugu wa marehemu baba yao) licha hawakusoma.
Kuna ndugu yangu mmoja anasomea masuala ya fisheries ameenda kuchukua masters yake eti ameenda kusoma akitupa mshipi samaki akikamata ndoana aweze kutambua huyu ni samaki wa aina gani kabla ya kumuibua! wakati wazee wasio na elimu wa ukerewe wanajua hili bila ya kusoma darasani. Wazee wa chongoleani na mwarongo wanajua kama aliekamata ndoana ni tasi au chafi lakini mtu anaenda kusoma ili aelewe.
Kusoma sio akili kaka hata ahao unaowapigia chepuo wapo ambao elimu zao ni za kuunga unga.
Nadhani wewe pia ukustahiri kuwa sehemu yetu umu GREAT THINKER kwani hujui kwa kuona CV ya mtu unaweza kutambua na kudadavua uwezo wake wa kufikiria unaisha wapi? wewe na huyo MH MUHHAMAD uwezo wenu wa kufikiria unaishia pale CHUMBE.
tatizo la wabongo lipo hivyo, wana elimu kubwa sana ya kujisifia tu wala si ya kutenda...wakiambiwa ukweli wanachachatika na kufoka tu...hata kama mtu anaongea vitu ovyo ovyo tu kama afanyavyo Tundu Lissu kwao wao kama hajatokea Profesa akasema Lissu kakosea hawataelewa...bado wabongo wanaishai zama za kufikiri 'charismatism' kama walivyofundishwa na Mwalimu wao Nyerere...hawawezi kufikiri wenyewe...Sikonge think again!
Mkuu,
Hebu soma Point za Tundu Lissu kuhusu Majaji Vihiyo na jinsi ambavyo KATIBA ya nchi imevunjwa kuwachagua au kuwaendelezea muda wao. Ni madudu matupu.
Kumbe hujui kinachoongelewa unachangia juu bila kujua maana.kwani tunaongea kuhusu uteuzi wa majaji nakatiba eheee???!!!
Kumbe hujui kinachoongelewa unachangia juu bila kujua maana.