Tundu Lissu na Spika Anna Makinda ndani ya DISKO

Kivumah

JF-Expert Member
Jan 7, 2008
2,428
1,050

Kaimu Kiongozi wa Upinzania Bungeni Mhe Tundu Lissu (Mb)-Chadema Kushoto akiwayarudi Mangoma na Spika wa Bunge La Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda hivi karibuni.
 
...Jaribu kufikiria Lissu anamwambia nini Mama Makinda mpaka ana smile. mmmhhh
 
Huyu mama si amefiwa na mzazi wake majuzi? na bado anakula black?.....sasa kiafrika ni sahihi kurumba?
 
hapo kweli kazi ni kazi na burudani unaweka kazi pembeni hahahahaha
 

Kaimu Kiongozi wa Upinzania Bungeni Mhe Tundu Lissu (Mb)-Chadema Kushoto akiwayarudi Mangoma na Spika wa Bunge La Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda hivi karibuni.



Eti Tundu lisu ndo kaimu kiongozi wa upinzani?au Zitto ndo kaimu?
 
Nawasiwasi na Tundu Lissu anaweza kuwa anapumzika hapo, kwenye kikao cha bunge anayeyusha tu kuwa mkali.sisi watu wazima bwana
 
Hahahahhaaaaaa........ah.....nipo kwenye daladala hapa nacheka sana,kweli bhana mtu mzima hadanganywi kwa pip
Nawasiwasi na Tundu Lissu anaweza kuwa anapumzika hapo, kwenye kikao cha bunge anayeyusha tu kuwa mkali.sisi watu wazima bwana
 
ila waheshimiwa hawa wanakula raha dunian,huwez kufa mapema hapa kama hela ndo kila ki2 bs wafaje,utakaa mpaka 70 nenda juu ila kwa mlalahoi haya mangoma apate waapi,ataisikia 2 akudo
 
Kumbe mama akiwa nje ya mjengo yuko poa namna hiyo? Sasa kinachompagawisha kiasi hicho akifika mjengono ni nini? Kila saa tu utamskia: Lindu Lisu Kaa chini!!
 
Lissu kanyuka koti la thuti na jeans kazi kweli kweli!unaweza kuta anamwambia mama nawe huwa unawabeba wazee wa magamba!
 
Maza ana hips simchezo kumbe analipa tundu mtundu anaweza kupitanaye zamani!!!wanapenda damu changa na wao
 
Back
Top Bottom