CUF walipumbazwa lakini baada ya sindano za kutosha za wadau wameelewa somo sasa tupo pamoja.
Tatizo la CUF Wakikusanyika hawaongelei facts, wanatumia muda mwingi kumtukana Nyerere (lanatullah), mwisho wa siku wanasema wanataka muungano au mkataba na nchi ile ile ya Nyerere.Nimeipitia kwa umakini mkubwa hotuba ya Mheshimiwa Tundu Lissu nikashindwa kuelewa ni kwanini CUF haikuiunga mkono CDM.Wanasiasa ni watu wanafki sana hasa ukimsikiliza Maalimu na Jussa ndiyo unashindwa kuelewa wanataka nini haswaa
Ndugu yangu utabadilika lini? Eleza basi kitu cha maana japo siku moja. Hapa watu wanajadili mambo muhimu wewe unaleta hadithi za mitaani. Hiyo kauli tumeisikia miaka 30 kipi cha ajabu.
Lakini pia kama ni koti mbona wznz wapo Dodoma wakishona hilo koti?
Tafadhali usihahribu mjadala, kama huna la kusema soma tu, ni sehemu muhimu ya elimu.
Tatizo la CUF Wakikusanyika hawaongelei facts, wanatumia muda mwingi kumtukana Nyerere (lanatullah), mwisho wa siku wanasema wanataka muungano au mkataba na nchi ile ile ya Nyerere.
Narudia, wametumia muda mwingi kutukana watu badala ya kutafuta ukweli.
Nondo kama hizi anazoteremsha Mchambuzi hawana muda wa kuzisoma.
Katika hali inayoshangaza wznz ambao wamekuwa wandai hati ya mkataba ya mwaka 1964 wamejikuta wakijikaanga kwa mafuta yao wenyewe.
Nahodha Vua amenukuliwa akisema hati hiyo ipo UN na haijawahi kurudi. Sijui UN walikuwa na sababu gani ya kubaki nayo.
Yahya Hamis Hamad katibu wa bunge kutoka znz anasema, hati ipo moja Ikulu Dar. Haiwezi kutolewa kwasababu uwezekano wa kupotea upo.
Hawa wawili ni wznz ambao kwao muungano ulikuwa Mwiba na wanataka mamlaka.
Hivi kama kipande cha karatasi hakiwezi kulindwa hadi Dodoma, kuna sababu ya Rais kutoka nje ya Ikulu?
Kuna sababu za Watanzania kula usingizi? Serikali haiwezi kulinda ukurusa mmoja wa karatasi vipi nchi?
Haya ndiyo mazingaombwe na ulaghai unaoendelea Dodoma.
Mchambuzi: Unasikitisha sana kuona kuwa unakumbatia wazo la Utanganyika na kujaribu kadri ya uwezo wsko kujenga hoja dhaifu kupindukia kuusifu Utanganyika. Hebu jiulize kidogo unadai eti Wananchi wakaongeza uelewa na kuitaka Tanganyika, Hawa wananchi unaowataja ni wanasiasa pekee au watanzania wenye hali zote? Kama ni wote, takwimu hizo umezipata wapi kuthibitisha kuwa Watsnzania wote su hata asilimia 90 wanataka Utanganyika au hata 51% Wakiutaka Utanganyika. Kwanini Mchambuzi unawasingizia wananchi kuwa Wanataka Utanganyika wakati ukweli ni kwamba Wanasiasa peke yao ndiyo wanayoitaka Tanganyika tena na wenyewe ni Wanachadema pekee?. Wewe unayejiita eti mchambuzi, mimi nathibitisha pasipo shaka kuwa hulitendei haki jina na sifa ya Mchambuzi. Naomba ujibu kwa hoja Faida 5 tu za Utanganyika kwa mwananchi wa Tanzania bara pia uoneshe hasara 5 tu kwa kuwepo Tanzania ambapo kila mtanzania zinamgusa moja kwa moja kama vile; Kutokuwepo Tanganyika Mwananchi hapati sukari, hapati ardhi ya kulima, Hapati madawa hospitalini, haruhusiwi kutumia barabara, haruhusiwi kuwa kiongozi au hata kuchagua kiongozi, haruhusiwi kusafiri nadani na nje ya nchi yake, Nawachukia sana watu wanaotukuza Utanganyika kwavile tu hawakubaliki aidha Zanzibar au Tanzania bara hivyo kutafuta kupiga bao ktk eneo moja tu la nchi. Watu kama Mchambuzi kilaza walaaniwe na wafungiwe jiwe kubwa shingoni na kutupwa ktkt ya bahari yenye kina kireeeeeeeefu.
Mchambuzi: Unasikitisha sana kuona kuwa unakumbatia wazo la Utanganyika na kujaribu kadri ya uwezo wsko kujenga hoja dhaifu kupindukia kuusifu Utanganyika.
Ndugu yangu, mbona hushambulii hoja unashambulia watu?Hebu jiulize kidogo unadai eti Wananchi wakaongeza uelewa na kuitaka Tanganyika, Hawa wananchi unaowataja ni wanasiasa pekee au watanzania wenye hali zote? Kama ni wote, takwimu hizo umezipata wapi kuthibitisha kuwa Watsnzania wote su hata asilimia 90 wanataka Utanganyika au hata 51% Wakiutaka Utanganyika. Kwanini Mchambuzi unawasingizia wananchi kuwa Wanataka Utanganyika wakati ukweli ni kwamba Wanasiasa peke yao ndiyo wanayoitaka Tanganyika tena na wenyewe ni Wanachadema pekee?.
Wewe unayejiita eti mchambuzi, mimi nathibitisha pasipo shaka kuwa hulitendei haki jina na sifa ya Mchambuzi. Naomba ujibu kwa hoja Faida 5 tu za Utanganyika kwa mwananchi wa Tanzania bara pia uoneshe hasara 5 tu kwa kuwepo Tanzania ambapo kila mtanzania zinamgusa moja kwa moja kama vile;
Kutokuwepo Tanganyika Mwananchi hapati sukari, hapati ardhi ya kulima, Hapati madawa hospitalini, haruhusiwi kutumia barabara, haruhusiwi kuwa kiongozi au hata kuchagua kiongozi, haruhusiwi kusafiri nadani na nje ya nchi yake, Nawachukia sana watu wanaotukuza Utanganyika kwavile tu hawakubaliki aidha Zanzibar au Tanzania bara hivyo kutafuta kupiga bao ktk eneo moja tu la nchi.
Watu kama Mchambuzi kilaza walaaniwe na wafungiwe jiwe kubwa shingoni na kutupwa ktkt ya bahari yenye kina kireeeeeeeefu.