Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Chakaza wewe ni mchokozi sanaView attachment 322844
Chai ya Ikulu kumbe inalegeza hivi? Ha ha ha au mpaka ukiinywa nyingi bila kufuata vipimo?
Chakaza wewe ni mchokozi sanaView attachment 322844
Chai ya Ikulu kumbe inalegeza hivi? Ha ha ha au mpaka ukiinywa nyingi bila kufuata vipimo?
Baba yako ni bwa'mdogo wangu kama huelewi, jaribu kuniheshimu tafadhali.Mulugo tutamkumbuka kwa mengi likwemo hili la kuharibu vijana kwa kuwapa elimu mbovu
Hajui chai ya Ikulu ukijaza sukari ina madhara makubwa? Huyu Lissu hajifunzi kwa waliojaza sukari kwenye chai ya Ikulu yaliyo kuwa yanawapata?Mwangalie Tundu Lissu alivyojipinda kujaza sukari kwenye kikombe chake, hadi miwani inataka kumdondoka.
Bado unatudhibitishia jinsi mulugo alivyo kujaza pumba kichwaniBaba yako ni bwa'mdogo wangu kama huelewi, jaribu kuniheshimu tafadhali.
Mulugo ndio kitu gani hicho?Bado unatudhibitishia jinsi mulugo alivyo kujaza pumba kichwani
Hajui chai ya Ikulu ukijaza sukari ina madhara makubwa? Huyu Lissu hajifunzi kwa waliojaza sukari kwenye chai ya Ikulu yaliyo kuwa yanawapata?
Kwa kuuliza hicho kitu inaonyesha umekijuaMulugo ndio kitu gani hicho?
Tulia mkuu niingie maktabaTeeeeeeeeh teeeeeeeeh naikumbuka hiyo mkuu, bado ile ya mwanza
Siishi huko vumbini.Kwa kuuliza hicho kitu inaonyesha umekijua
Nitashukuru mkuu ukiitupia hapaTulia mkuu niingie maktaba
Kumbe na wewe unaikubali CHADEMA!!!
Hahah, halafu mcheki Baregu sasa anavyopigia chabo!
Dah kweli mkwere alikuwa hajali matumizi....chai ya watu wote hao si kumaliza sukari ya ikulu....kwa magu anaenda mmoja tu na anakunywa maji tu
Ile ya Chato, Geita vipi? Nasikia mtu mzima alijipigia simu na akapokea mwenyewe!View attachment 322835
Kama ni picha za kumbukumbu ungeweka na hii hapa